Office Space for Rent in Sinza A, Dar Es Salaam


Amenities
Description
🏢 NYUMBA YA OFISI INAPANGISHWA – SINZA A (KARIBU NA MLIMANI CITY)
Unatafuta sehemu nzuri ya kuanzisha au kupanua ofisi yako? Hii hapa nafasi murua kabisa!
🔹 Bei: 3,000,000/= kwa mwezi
🔹 Vyumba 4 vikubwa sana
🔹 Ipo sehemu ya biashara yenye muonekano mzuri
🔹 Inatazama barabara ya lami moja kwa moja
🔹 Inafaa kwa ofisi ya aina yoyote (company, clinic, agency, n.k.)
📍 Location ni prime – karibu kabisa na Mlimani City, mazingira tulivu na yenye mvuto wa biashara
💼 Service Charge: 30,000/=
📞 Call: 0787093748
Usikose nafasi hii – wahi kabla haijachukuliwa!















