Retail Space for Rent in Sinza, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 200,000 per month

Type

Retail Space

Amenities

Near Paved Road

Description

🔥 KIBANDA CHA WAKALA KINAPANGISHWA – SINZA 🔥

Unatafuta sehemu nzuri ya kuanzisha huduma za pesa? Hii hapa nafasi yako!

📍 Sinza
💰 Bei: 200,000/- kwa mwezi
📌 Service Charge: 30,000/-

✅ Kibanda kinatizama lami kabisa
✅ Kioo safi na muonekano mzuri
✅ Eneo lenye watu wengi – biashara inatembea
✅ Location kali sana kwa huduma za wakala (M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money n.k.)

Hii ni sehemu ambayo hautajutia kuwekeza – njoo uanze kupiga hela mapema! 💸

📞 Call: 0787093748