Salon for Sale in Kimara Korogwe, Dar Es Salaam
Amenities
Description
β¨ SALOON INAUZWA KAMA ILIVYO NA VITU VYAKE VYOTE β¨
LOCATION: KIMARA KOROGWEπIPO BARABARANI
SOMA MAELEZO YOTE NIMEKUANDIKIA NDUGU MTEJAπ€
Fursa nzuri kwa anayehitaji kuendelea na biashara ya saloon mara moja bila kuanza kutoka sifuri!
π Saloon inauzwa ikiwa na vifaa vyake vyote kama vilivyo.
π
π° KODI YA FREM: TSH 200,000 kwa mwezi (kama utataka kuendelea na frem).
π₯ KAMA UNATAKA VIFAA VYA SALOON PEKEE BILA FREM:
Bei ni TSH 4,000,000/= MAONGEZI YAPO β usiogope ndugu mteja!
π₯ VIFAA VILIVYOPO NDANI YA SALOON π₯
β’ Dry ya ukutani mpya β 1
β’ Stimer ya ukutani mpya β 1
β’ Hot comb
β’ Hand dryer β 2
β’ Viti standard β 6
β’ Side stools za kukalia β 4
β’ Viti vya kuwekea miguu kwa mteja wa rangi β 3
β’ TV inch 32 β 1
β’ Sink standard la ceramic na stuli yake ya miguu β 1
β’ Rangi nyingi za gel
β’ Rangi za kucha za kawaida
β’ Vifaa vyote vya kucha (vingi sana)
β’ Tools box nzuri β 2
β’ Meza za kucha standard β 2
β’ Shelf za chuma β 2
β’ Nywele za extension
β’ Rasta nyingi (Primar, Fantasy na nyinginezo)
β’ Reception β 1
β’ Dressing table ya makeup β 1
β’ Kabati la shelf β 1
β’ Mlango mkubwa wa kioo β 1
β’ Vioo vikubwa standard β 3
β’ Zulia kubwa la chini
β’ Zulia la majani
β’ Mabeseni mazuri ya kuoshea miguu
β’ Feni la chini β 1
β’ Human hair
β’ Makeup set
β’ Dawa za nywele
β’ Loloz zote
β’ Scrub za kutosha
β’ Mataulo zaidi ya 6
β’ Ring light kubwa β 1
β’ Ring light ndogo β 1
β’ Dust bin mpya standard β 2
β’ Camera β 1
β’ Bango la kubadilisha herufi β 1
β’ Ua la kupigia picha (Lavender) β 1
β’ Mashine za gel β 2
β’ Kifaa cha kuwekea vitu vidogo vidogo
β’ Jaba kubwa la maji ya dharura
β’ Maji yameungwa direct kutoka DAWASCO
π NB: Kuna vitu vingine vingi ambavyo utaviona ukifika.
π€ Karibu sana ndugu mteja kuja kuona na kufanya maamuzi.
0684561351
#SaloonInauzwa #SalonForSale #BiasharaInauzwa #VifaaVyaSaloon MarketplaceTanzania DarEsSalaam FursaYaBiashara


