Farm for Sale in Bunju-A, Dar Es Salaam (3 acre)

Amenities
Description
SHAMBA LA MIFUGO LA KISASA, EKARI 3,TSHS.550 MILIONI, BUNJU-A.<br/><br/>Lipo umbali wa kilomita 4 kutoka Barabara ya Bagamoyo. <br/><br/>Hapa kuna:<br/>Mabanda ya kufugia KUKU,<br/>Mabanda ya kufugia NG'OMBE,<br/>Mabwawa 4 ya Kufugia SAMAKI.<br/><br/>Miundombinu iliyopo ni pamoja na Nyumba 2 za Wafanyakazi, <br/>Kisima cha Maji na <br/>Miundombinu ya Bomba za Kusambaza Maji kwenye Mazao.<br/><br/>Ukubwa ni Ekari 3.<br/>Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara. <br/><br/>________________<br/><br/>ANGALIZO:<br/>Malipo ya Dalali ni 10%<br/>Kuona ni Tshs.50,000. <br/>(Unalipa wewe MNUNUZI)<br/><br/>Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.<br/><br/>+255 714 591 548<br/><br/>___________rgshn
