Tafuta
-
-

Shamba linauzwa Bunju-A, Dar Es Salaam (3 acre)

video thumbnail
Sh. 550,000,000

Aina

Shamba

Ukubwa

3 ACRE

Barabara ya Karibu

4km — Bagamoyo Road

Huduma na Sifa

Kisima
Chumba cha Msaidizi
Maji
Hati
Poultry Sheds
Cattle Sheds

Maelezo

SHAMBA LA MIFUGO LA KISASA, EKARI 3,TSHS.550 MILIONI, BUNJU-A.

Lipo umbali wa kilomita 4 kutoka Barabara ya Bagamoyo.

Hapa kuna:
Mabanda ya kufugia KUKU,
Mabanda ya kufugia NG'OMBE,
Mabwawa 4 ya Kufugia SAMAKI.

Miundombinu iliyopo ni pamoja na Nyumba 2 za Wafanyakazi,
Kisima cha Maji na
Miundombinu ya Bomba za Kusambaza Maji kwenye Mazao.

Ukubwa ni Ekari 3.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.

________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

___________rgshn