Shop for Rent in Sinza, Dar Es Salaam

Amenities
Description
📍 SINZA – FREM KUBWA INAPANGISHWA 📍
Fursa nzuri ya biashara Sinza!
Frem kubwa sana inapangishwa kwa bei ya Tsh 2,500,000/= tu kwa mwezi. Ipo eneo zuri sana la biashara lenye movements za kutosha na mazingira mazuri kwa wateja.
âś… Inafaa biashara yoyote
âś… Duka la nguo
âś… Saloon ya kiume au ya kike
âś… Duka la simu na biashara nyingine nyingi
âś… Eneo la biashara lililochangamka
âś… Service Charge: 30,000/= tu
📞 Call/WhatsApp: 0787093748















