Nyumba inapangishwa Kibamba, Dar Es Salaam


#STAND ALONE HOUSE FOR RENT/ NYUMBA INAYOJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE INAPANGISHWA KIBAMBA CHAMA
=
Vyumba 3 vya kulala kimojawapo master bedroom sebule kubwa dinning jiko kubwa,
=
Kodi 300,000 Kwa mwezi × 3
===
Ndani ya fence parking IPO inajitegemea kila kitu, Umbali KM 1 Tu kutoka Morogoro Road
==
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
===
CALL
0683234124
0718367179