Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi Darajani, Dar Es Salaam


Aina
Apartment
Vyumba
1
Bafu
1
Sifa
Maelezo
Chumba master, sebule na jiko inapangishwa bei 270000 kodi kianzia miezi 6 & diposite ya mwezi 1, umeme na maji unajitegemea, parking bubwa, peving block, reserve water tank, usalama wa kutosha na sehemu tulivu sana, Location tabata kinyerezi darajani dar es salaam
Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii




















