Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Bunju, Dar Es Salaam


🏡 NYUMBA INAPANGISHWA – BUNJU B (Kihonzile)
📍 Mahali: Bunju B – Mtaa wa Kihonzile
🏘️ Umbali: Mita 300 kutoka Barabara ya Bagamoyo
---
🛏️ Muundo wa Nyumba:
Chumba 1 sebule
🚽 Choo ndani
🧱 Ndani ya fensi (mazingira tulivu na salama)
💧 Maji: Unashare na watu 3
⚡ Umeme: Kila mtu ana LUKU yake
Call/ WhatsApp: 0687800788
💰 Kodi: TSh 150,000/= kwa mwezi × miezi 6
💼 Service Charge (kwa kuona): TSh 15,000
Call/WhatsApp: 0687800788