Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam







NYUMBA INAPANGISHWA
IPO - DAR ES SALAAM
๐ENEO- TEMBONI
Upande wa kulia kama unaenda mbezi
๐BEI - 120,000 x6. MPYAA KABISA ๐ฅ
NYUMBA
YENYE
______
๐ธChumba kimoja cha kulala
๐ธChoo ndani
๐ธ Maji yanatoka ndani
๐ธJiko
๐ธWapangaji 5 tu, hamna mwenye nyumba hapa
๐ธIla kimoja ndicho kipo waziiii
๐ธMadrisha ya kioo
๐ธUmeme
โฆ๏ธ Fensi inajengwaa,ila hailazi gari
๐ธUmbali wa 1.5km
๐Service charge. 15,000 elfu
Piga
##0655256419