Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


:
APARTMENT NZURI YA KISASA YA KIBACHELA
#CHUMBA_SEBULE_JIKO_CHOO INAPANGISHWA
#MAHALI - MBEZI BEACH
KODI TSHS LAKI 700,000/= KWA MWEZI
MALIPO YA KUANZIA MIEZI 6
UKILIPA KODI HIYO UNALIPA UMEME NA MAJI TU AMBAO UNA MITA YAKO, GHARAMA ZINGINE ZOTE KAMA #ULINZI, #USAFI, #TAKATAKA VIMEJUMUISHWA KWENYE KODI
YENYE:-
Chumba kimoja cha kulala , Chumba kina makabati #Ac #Sebule #Ac #Jiko zuri lenye #Makabati
#Gypsum #Tiles #aluminium #Windows
#Umeme upo wa #Luku yake
#Maji yapo ya #bomba #24hrs
Cars #Parking Space ipo
Nje #Pavingblocks
#Fenced
0716 776247
0754 221168