Nyumba ya chumba kimoja inapangishwa Tangazo, Mtwara


📢 TANGAZO KWA MADALALI WENZANGU – SINGIDA MANISPAA 📢
Nina wateja watatu wanaohitaji vyumba vya kupanga.
👉 Mahitaji yao ni:
1️⃣ Chumba chenye choo ndani (kipaumbele).
2️⃣ Kama hicho hakipo, basi wanahitaji Chumba cha kulala chenye choo ndani + Sebule.
❗Ukimkosa vyumba vyenye sifa hizo, tafadhali nijulishe ulivyo navyo ili tuone kama vinafaa.
📍 Maeneo wanayopendelea (Singida Manispaa):
Jovena (karibu na barabara)
Mizani
Manga
Tafadhali nitumie picha, bei na masharti ya nyumba husika
💰Kodi 200,0000/=.
📞 0658128485
---
#singida #dalalisingida #dalaliwanyumbasingida #vyumba_vya_kupanga #vyumbasingida #jovena #mizani #manga


















