Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







๐น๐ฟ#APARTMENT #INAPANGISHWA
Hii inafaulishwa miezi 3 na kuendelea
๐Kimara korogwe
๐Umbali wa Kutoka stand ya mwendo Mwendokasi.Dakika 15 kwa mguu usafili bajaji 500 bodaboda 1000 Tu mpaka getini
#SIFAZAKE
๐ธChumba Kimoja master
๐ธSebule
๐ธJiko la nje
๐ธUmeme & Maji #Inajitegemea
๐ธFence & Parking Kubwa
๐Zipo apartments 4 kwenye Compound hii ndio inakuwa wazi jioni
๐นKodi Tsh 250,000/=ร3,4,5,(MpakaSita)
๐นMalipo ya Dalali Tsh 250,000/=
๐นService Charge Tsh 15, 000/=
#Piga_simu๐
# ๐. &Whatsapp
#please #Follow us๐
Karibu Sana Mteja๐
##0655256419