Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


🇹🇿APARTMENT #INAPANGISHWA
📍Kimara korogwe kilungule
Km 1.8kutoka stand ya mwendo kasi usafili bajaji 500 ukishuka dakiki 1 upo ndani bodaboda1000 mpaka getini
#SIFAZAKE
Hii ina Chumba Kimoja ni Master, Sebule, na Jiko Umeme Luku Yake & Maji yanaflow ndani Iko ndani ya fensi na Parking nikubwa
Kodi Tsh 200,000/=x6(Miezi Sita)
Malipo ya Dalali Tsh 200,000/= Service Charge Tsh 15,000/=
#Piga_simu👇
0627977383
#. & Whatsapp
#please #Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😊