Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 APARTMENT MPYA #INAPANGISHWA
📍kimara Bucha
🕑Km 1 kutoka stand ya mwendo bodaboda 1000 Tu kwa mguu dakika 15
🔹SIFAZAKE
🔹Chumba, Kimoja master Kizuri
🔹Jiko
🔹Umeme luku yake, Maji yanaflow ndani
🔹Fence amna Car Parking
📌Mazingira Tulivu Sana
🔸Kodi Tsh 150,000/=x6 (Miezi Sita)
🔸Malipo ya Dalali Tsh 150,000/=
🔸Service Charge Tsh 15,000/=
#Piga_📞simu
#.& Whatsap
#please #Follow us 🙏
Karibu Sana Mteja😊
##0655256419