Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


🇹🇿APARTMENT #INAPANGISHWA
📍Kimara Bucha
🕜Dakika 3 kutoka stand ya mwendo kasi kwa mguu
#SIFAZAKE
Chumba kimoja choo cha public na jiko lake mna share 2 Tu Umeme Sub-Meter Yake & Maji yana frow chooni Iko ndani ya fensi
📌Hiki chumba ukilipa kinawekwa tails
na kuludishiwa langi
✍️Anatakiwa mpangaji wakike Tu
Kodi Tsh 80,000/=x 6 (Miezi sita )kuazia
Malipo ya Dalali Tsh 80,000/=
Service Charge Tsh 15,000/=
#Piga_simu👇
O627977383
#.&Whatsapp
#please #Follow us😊
Karibu Sana Mteja