Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Kimara Bucha
🕑km 1 umbali kutoka standi ya mwendo kasi piki piki 1000 mpaka getini kwako kwa mguu dakika 15 Tu
#SIFAZAKE
🔹Chumba Kimoja Master
🔹Sebule
🔹 Jiko
🔹Bafu
🔹Umeme LUKU yake Maji yanaflow ndani
🔹Fenced Car Parking kubwa
👉 Ya chini Juu inapangishwa
🔶Kodi Tsh 250, 000/=× miezi 6
🔶Malipo ya Dalali Tsh 250, 000/=
🔶Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
Piga_simu
0712528820
0685221354
,
#Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😊