Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam


๐น๐ฟ #APARTMENT #INAPANGISHWA
โโโโโ
๐Ubungo Makoka
๐2km Kutoka Riverside Kituoni, Pia Unaweza Kupitia Kimara Korogwe Kote Bajaji 700 tu
#SIFAZAKE
๐นChumba Kimoja Chakulala
๐นSebule
๐นJiko
๐นChoo cha ndani
๐นUmeme Luku #Inajitegemea , Maji yanaflow ndani
๐นFensi, Parking kubwa
๐Hii zinakuwa Tayari Kuhamia Tar 15/07/2024 Kuona na kulipia Ruksa.
๐ถKodi Tsh 250,000/=ร6(Miezi Sita)
๐ถMalipo ya Dalali Tsh 250,000/=
๐ถService Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu ๐
,
#0688573777. ๐&Whatsapp
,
#Follow us๐
Karibu Sana Mteja๐