Nyumba/Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam


🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Ubungo Makoka, kwa Mkuwa
🕑2km Kutoka Mwendokasi, Bajaji 500 Tu, Ukishuka Unatembea dakika 15 Mpaka Nyumba Au Boda Boda 1000 tu
#SIFAZAKE
🔹Chumba Kimoja Master
🔹Sebule
🔹Hakuna Jiko
🔹Umeme LUKU yake, Maji yanaflow ndani
🔹Fenced Car Parking ipo
🔶Kodi Tsh 200K X3. miezi kuazia 3 na kuendelea
🔶Malipo ya Dalali Tsh 200, 000/=
🔶Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu: ,:: 0672 673363 >>> 0763 219307
,
#Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😊