Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam


šUionapo Hii nyumba Beba Hela tukalipie
šÆļøKIMARA SUKA
š 270,000/= *7 (Kodi Kuanzia Miezi 7)
_________
___
š Umbali wa dakika 10 tu Kwa Kutembea
⢠Vyumba 2 vya kulala Vikubwa (Haina Master)
⢠Sebule Kubwa
⢠Jiko zuri
⢠Public toilet ndani
* Inajitegemea UMEME na Maji
* Parking
* Ndani ya Fensi
* Paving Blocks
⢠Mazingira TULIVU Na Mazuri
#Upande wa kushoto kama unaenda Mbezi
______
š *MUHIMU SANA*
#Kupelekwa kuona nyumba Tsh 15,000
#Malipo ya Dalali ni Tsh 270,000/=
______
0753-172-516



















