Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Madale, Dar Es Salaam


...
Apatment zinapangishwa zimebaki 3,
Nyumba zina room 2 seble jiko na room moja ni self
Unajitegemea meter za maji na umeme,
Bei ni 550000 kwa mwezi. ambayo inaunganisha na gharama za Ulinzi, Usafi na Wif
Nyumba ipo njia ya madale jirani na KANJIBAI
Kwenda kukagua nyumba nyumba tunachaji
Sh 20000 yakifuatiwa malipo ya dalali kodi
Ya mwezi baada ya kulipia nyumba
CONTACT
O747196597 WhatsApp
0718618508
0696288247