Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Makongo, Dar Es Salaam


Inapangishwa: 
Location :: makongo Goba road 
Bei yake ::700,000 tsh  kwa mwezi (Miezi 6) 
Muundo wa nyumba;
🌡️Vyumba viwili (Kimoja Masta) 
🌡️Sebule kubwa 
🌡️Jiko lenye makabati 
🌡️Choo cha wageni 
🌡️Fans & Air Conditions 
🌡️Fenca 
Call/Whatsapp;
0743688011



















