Nyumba ya vyumba viwili inapangishwa Tabata, Dar Es Salaam


🏢 KIWANJA KINAUZWA – TABATA SANENE 🔥
📍 Takriban mita 10 tu kutoka barabara ya lami
🚗 Ufikaji rahisi sana mwaka mzima
📐 Ukubwa: SQM 800
✅ Kiwanja ni flat kabisa
💰 Bei: Tsh Milioni 90
✨ Eneo lina potential kubwa sana kwa uwekezaji!
✔ Linafaa kwa ujenzi wa apartments
✔ Tayari kuna nyumba ndani – unaweza:
🏠 Kuikarabati na kupangisha au 🏡 Kuishi mwenyewe
🏗 Au kuvunja na kujenga apartments mpya
💵 Soko la upangaji ni zuri sana:
• Vyumba 2 hadi 500,000/= kwa mwezi
• Master + Sebule + Jiko hadi 350,000/=
Wapangaji wanapatikana bila shida.
Hii ni fursa kwa mwekezaji anayetaka eneo lenye mahitaji makubwa ya makazi.
📞 +255688412890
🎟 Viewing fee: 30,000/= TSH
dalaliwakishua
Dalali wako Wakishua 🏆
“Miliki Kesho Yako Leo!!!”
#daressalaam #viwanja #tabata #dalali


















