Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Bunju, Dar Es Salaam







🏠 NYUMBA INAUZWA - BUNJU B
📍 Mahali: Bunju B - Sokoni
📐 Ukubwa wa Kiwanja: 20m x 20m
📄 Hati Miliki: Ipo – Hati ya Wizara ya Ardhi
🏘️ Mazingira: Ipo katika mtaa mzuri wa kisasa na unaofaa kwa makazi
🏡 SIFA ZA NYUMBA:
🛏️ Vyumba 2 vya kulala
🚽 Choo cha nje (Public toilet)
🛋️ Sebule ya kupendeza
🍳 Jiko lenye nafasi nzuri
💰 Bei: Milioni 65 TSH (maelewano yapo kidogo)
---
📞 Wasiliana Nasi kwa maelezo zaidi au kuona nyumba:
📲 0687 800 788
📞 0713 958 395
---