Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Bunju, Dar Es Salaam


🏡 NYUMBA INAUZWA – BUNJU 'B' 🏡
📍 Location: Bunju 'B' – Karibu na Uwanja wa Simba
🛏️ Vyumba 2 (1 ni Master)
🛋️ Sebule
🍽️ Jiko la ndani
🚽 Choo cha Public
NJE KUNA:
🚻 Nje kuna Mabanda ya Kufuga
📐 Ukubwa wa Kiwanja: 600 Sqm
📄 Kimepimwa na Kina Hati Kamili ya Wizara
💰 BEI: TSh Milioni 75 (Maongezi kidogo sana)
🧾 Service Charge: TSh 20,000/=
☎️ Call/WhatsApp: 0687 800 788