Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kibada, Dar Es Salaam


NYUMBA MPYA,VYUMBA 2,TSHS.55 MILIONI,KIBADA/KIGAMBONI.
KiwanjakinaukubwawaSQM. 450.
UmilikiniMKATABAWAMAUZIANO.
Ina vya kulala 2 (Masta 1)
Pia Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________ery


















