Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Kigamboni, Dar Es Salaam


NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI 
<> location kibugumo 
<> nyumba ina jumla ya vyumba viwili kimoja master sebule na jiko
<> nyumba Ina chumba kimoja master 
<> chumba kimoja master 
<> chumba kimoja single 
<> nyumba Ina sebule kubwa
<> nyumba Ina public toilet 
<> nyumba Ina jiko kubwaa 
Hii nyumba inafaa kwa matumizi mbali mbali 
<> ikiwemo makazi binafsi 
<> pia unaweza ukapangisha 
UKUBWA WA ENEO NI 
<> SQM (300)
<> nyumba Ina calo la choo tayali 
<> nyumba Ina kisima chamaji tayali
<> nyumba bado fence tu
BEI HALISI YA NYUMBA 
<> ML (35)
🔳Mawasiliano 
✅0628505896
✅0763954837




















