Nyumba ya vyumba viwili inauzwa Tabata, Dar Es Salaam


🏢 KIWANJA KINAUZWA – TABATA SHULE 🏢
Kiwanja kizuri sana kinauzwa Tabata Shule, takribani dakika 2 tu kutoka kituoni 🚶♂️ na ufikaji ni rahisi kabisa 🚗.
📐 Ukubwa: SQM 700
🔒 Kipo ndani ya fence na kuna nyumba za zamani za kuvunjwa 🏚️, hivyo unaweza kuanza ujenzi mara moja 🧱.
Hii ni fursa nzuri sana kwa uwekezaji wa apartments 🏬.
Unaweza kujenga:
🔹 Vyumba viwili, sebule na jiko na kupangaisha kuanzia 700,000/= 💰 kulingana na finishing.
🔹 Au Master bedroom na jiko na kupangaisha kuanzia 500,000/= 💰 kulingana na finishing.
⭐ Watu wengi wanapenda sana kuishi Tabata Shule kwa sababu:
✔️ Hakuna foleni 🚗❌
✔️ Ufikaji wa mjini ni rahisi sana 🛣️
✔️ Ni karibu na mjini kuliko kwenda mbali kama Kinyerezi au Tabata Segerea.
Ndiyo maana wapangaji wengi wanaprefer kuishi Tabata Shule au Tabata Mwanzo.
💰 Bei: Milioni 120 tu
👀 Service charge: 30,000/=
🔥 Hapa unaweza kufanya uwekezaji mzuri sana na kutengeneza faida kubwa kwa kupangisha.
🤝 Karibu tajiri tufanye biashara.
📞 Wasiliana nami: +255 688 412 890
✨ Dalali wako Wakishua



















