Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







🚨🔥#APARTMENT ZIPO 2 TU KWENYE FANCE MOJA INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Kimara Bucha
🕑Umbali kutoka standi ya mwendo kasi dakika 2 Tu
#SIFAZAKE
🌲Vyumba Viwili vyakulala kimoja Master
🌲Sebule
🌲Jiko
🌲Public Toilet ndani
🌲Umeme Luku Yake
🌲Maji meter yake na yanaflow ndani
🌲Fensi & Parking Kubwa
👉 Hii ipo wazi ya kuingia
🔹Kodi Tsh 450, 000/= miezi 6
🔹Malipo ya Dalali Tsh 450, 000/=
🔹Service Charge. Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu 👇
O627977383