Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Kimara, Dar Es Salaam







APARTMENT #INAPANGISHWA
✍️NIMESHUSHA BEI KUTOKA 230K MPAKA 200K KIMBIA NDUGU MTEJA UWAHI KULIPA
📍Kimara Korogwe
🕓Umbali wa kutoka stand ya mwendo kasi km 1 usafili bajaji 500 ukishuka unatembea dakika 5 bodaboda 1000 mpaka getini
#SIFAZAKE
🔹Vyumba viwili, Kimoja Master
🔹Sebule
🔹Jiko
🔹Choo cha familia
🔹Umeme submiter & Maji Inajitegemea
🔹Fence & Parking Kubwa
🔸Kodi Tsh 200,000/=×6(Miezi Sita)
🔸Malipo ya Dalali Tsh 200,000/=
🔸Service Charge Tsh 15, 000/=
#Piga_simu👇
O627977383
#📞 &Whatsapp
#please #Follow us,🙏
Karibu Sana Mteja😁