Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


π£ Apartment ya Karibu na barabara Inapangishwa MBEZI KWA YUSUPH
π Kodi Tsh 400,000/= Γ6
_
___________
β’ Vyumba 2 vya Kulala (Kimojawapo ni Master)
β’ Sebule
β’ Jiko Lenye Makabati
β’ Public Toilet
* Inajitegeme MAJI na UMEME
* Fensi
* Parking
* Maji ndani
#Umbali wa dakika 3 tu kwa miguukutoka morogor Road
_______
#Malipo ya Dalali Nasoni ni 400,000/=
#Kupelekwa kuona ni 15,000/=
#0753172516