Nyumba/Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Ubungo, Dar Es Salaam


🇹🇿 #APARTMENT #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Ubungo Kibo, Dakika 4 kutembea Kutoka Morogoro Main Road
#SIFAZAKE
Vyumba viwili, Vyakulala, Sebule, Jiko & Choo cha ndani
Umeme Luku yake & Maji dawasa yanaflow ndani
Haina Fensi, ila usalama mkubwa na parking Ipo
Kodi Tsh 300,000/=×6(Miezi Sita)
Malipo ya Dalali Tsh 300,000/=
Service Charge Tsh 15, 000/=
______________
#Piga_simu 👇
,
#0688573777. 📞&Whatsapp
,
#please #Follow us🙏
Karibu Sana Mteja😊