Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Goba, Dar Es Salaam


STANDALONE INAPANGISHWA
💧Location :: GOBA NJIA NNE - NJIA YA MADALE
💧Bei :: Tsh. 700,000 kwa Miezi 6
Muundo wa Nyumba;
📍Vyumba Vitatu (Kimoja Master)
📍Sebule kubwa
📍Dinning
📍A/C kwenye Master na Sebuleni
📍Choo cha Public
📍Jiko kubwa lenye makabati
Nipigie/WhatsApp - 0783558470