Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mawasiliano, Morogoro


Nyumba inapangishwa bei laki 3 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 3 nakuendelea. Nyumba ina rooms 3 vyakulala sitting room, dinning room, jiko, room moja ni master bedroom, public toilet ipo pia, tiliz, madilisha vioo, mafeni juu panga boy yapo, unajitegemea umeme luku yk pamoja na maji pia mita yk, na fensi ipo pia ya parking lakn fensi ni ya sharing watu 2 tu basi. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.



















