Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam







πΉπΏNYUMBA KUBWA YA KISASA YA FAMILIA INAUZWA
PAMOJA NA SERVANT COTER YAKE YA CHUMBA MASTER NA SEBULE YA KISASA
#VYUMBA 3 VIKUBWA SANA VYA KULALA KIMOJAWAPO NI MASTER BEDROOM KUBWA SANA
#SEBULE KUBWA SANA
#DINNING ROOM
#JIKO KUBWA
#STORE KUBWA
#PUBLIC TOILET
#PARKING KUBWA
#NYUMBA HII INA MPANGAJI ANALIPA KODI 300,000 KWA MWEZI
#PIA KUNA SERVANT COTER YA CHUMBA MASTER NA SEBULE
UKUBWA WA KIWANJA CHAKE NI UPANA NI 25 METERS NA UREFU NI 30 METERS ( 25/30 METERS)
DOCUMENTS: MAUZIANO HALALI YA KISHERIA NA SERIKALI YA MTAA / ENEO LIMEPIMWA
BEI NI MILIONI 90 MAONGEZI YAPO NDUGU MTEJA
π«π« NYUMBA HII YA KUUZWA IPO MBEZI BARABARA YA KUELEKEA MPIGI MAGOHE NJIA INAYOWEKWA LAMI NA KUTOKA MOROGORO ROAD HADI KWENYE NYUMBA NI KM 3 NA USAFIRI NI BAJAJI AU BODABODA NA UKISHUKA TUU KWENYE USAFIRI UNATEMBEA DK 3 TUU UPO KWENYE NYUMBA
NOTE:- ENEO LIMEPIMWA NA KWENYE NYUMBA KUNA MPANGAJI ANALIPA 300,000 KWA MWEZI
SERVICE CHARGE 30,000
For More Informations
0688 067 289
0714 418 005 WhatsApp