Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam


NYUMBA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE STAND ALONE MBEZI KWA MSUGULI KM3 KUTOKA LAMI
-------
Vyumba 3 vya kulala hakuna master bedroom
Seble kubwa
Dinning room
Jiko kubwa
Public toilet
Maji hayatoki chooni
Ndani ya fence
Parking space kubwa
--------
Service charge 15,000/=
Kodi 250,000/=×6
---------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 2.5
----------
Contact
📞#0676_218580 (WhatsApp)
📞#0693_673010
#dalali_big_kimara🇹🇿
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT 🇹🇿
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏