Nyumba ya vyumba vitatu inapangishwa Mbezi, Dar Es Salaam







NYUMBA INA PANGISHWA INA JITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE STAND ALONE  MBEZI LUGURUNI  KM1.5 KUTOKA LAMI 
------
Vyumba  3 vya kulala kimoja master bedroom 
Seble kubwa sana 
Dinning room 
Jiko kubwa la kisasa lina makabati 
Public toilet 
Maji yana flow 
Luku yako 
Tiles 
Gypsum 
Ndani ya fence 
Parking space kubwa 
-------
Service charge 15,000/=
Kodi 350,000X6 
---------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 3.5 
----------
Contact 
#0676_218580 (WhatsApp)
#0693_673010
#Dalali_big_kimara 
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT 
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA 🙏



















