Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Buswelu, Mwanza


NYUMBA INAUZWA BUSWELU
-ina vyumba vitatu vya kulala ( kimoja ni self contained ), sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet
-ukubwa wa kiwanja ni Sqm 583
-ina hati miliki ya wizara
-bei Milioni 40
☎️ 0743220097