Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Goba, Dar Es Salaam







NYUMBA YENYE HATI, VYUMBA 3, TSHS.99 MILIONI, GOBA NJIA NNE.
Ni umbali wa Mita 40p tu kutoka Barabara ya Lami.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 738.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Vyumba 3 (Kila kimoja na Choo chake)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
Pia kuna Servant's Quarter ya Chumba kimoja.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________jj
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.