Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kibaha, Pwani


NYUMBQ YA VYUMBA 3,TSHS.30 MILIONI,KIBAHA KWA KIPOFU.
Hii nyumba ipo umbali wa kilomita 1 kutoka Barabara ya Morogoro.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Huduma za Umeme na Maji zipo.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
________________mpg


















