Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kinyerezi, Dar Es Salaam


π‘ NYUMBA YA KISASA INAUZWA β KINYEREZI SHULE | MILIONI 150 TU! π‘
π₯ Fursa Adimu β Nyumba Mpya Kabisa, Tayari Kukaa!
β
Vyumba 3 (1 Master na choo chake)
β
Sebule kubwa yenye nafasi ya starehe
β
Chumba cha kulia cha kifahari
β
Jiko la kisasa + choo cha umma
β
Eneo: 500 sqm β nafasi ya kutosha kwa bustani au maegesho
β
Umbali: Dakika 5 tu kutoka barabara ya lami (barabara nzuri ya mchanga)
π Mahali: Kinyerezi Shule Zimbili β eneo linalokua kwa kasi, karibu na shule, maduka na huduma zote.
π° Bei: TZS 150,000,000 (inajumuisha hati miliki)
π Ada ya kutazama: TZS 30,000 (inakatwa bei ukishaamua kununua)
π Piga sasa: 0688 412 890 β tazama leo, kesho inaweza kuwa imechukuliwa!
π Nunua nyumba yako ya ndoto β usikose nafasi hii!
#NyumbaInauzwa #Kinyerezi #DarEsSalaam #Milaioni150



















