Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kiseke, Mwanza


NYUMBA INAUZWA KISEKE
-ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja ni self contained, sebule, dinning, jiko, stoo na public toilet
-ukubwa wa kiwanja ni 25x20
-kiwanja kimepimwa tayari
-umeme na maji vipo ndani ya nyumba
-bei Milioni 55
NB:-
-nyumba ya pili (2) kutoka kwenye barabara ya lami
☎️ 0743220097