Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kisima, Kilimanjaro


NYUMBA NZURI BEI 'kotonga',TSHS.25 MILIONI TU,MVUTI/KITONGA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hii nyumba ipo jirani na Kituo cha Daladala.
Vyumba 3(Masta 1)
Pamoja na Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Finishing ndogo sana inahitajika.
Nyumba Ina huduma sa Umeme na Maji na Pia kuna Kisima.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________mskv


















