Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA NZURI KUBWA,VYUMBA3,TSHS.73 MILIONI,KIVULE-FREMUKUMI.
Hapa ni jirani na Hospitali (Amana Ndogo)
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 440.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
SIfa mojawapo ya hii nyumba ni nafasi.
Vyumba 3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani,
Pamoja na Chumba cha Kusomea/Ofisi.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548.
____________mskv