Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA YAKUMALIZIA KIDOGO,TSHS.68 MILIONI, KITHNDA-KIVULE.
Hapa ni NJIA PANDA YA SHULE/KANISA LA ROMA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.700.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba ya kisasa ya 'CINTEMPORARY'
Vyumba 3 vya kulala ( Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+25/ 714 591 548
_____________mskv