Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam





NYUMBA YENYE VYUMBA 3, TSHS.18 MILIONI, KIVULE FREMU KUMI.
Ni jirani na Kituo cha Daladala na karibu na Hospitali Kuu ya Ilala.
Kiwanja kina ujubwa wa SQM.
Vyumba 3 ( Masta 1)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Huduma za Umeme na Maji zipo.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________mskvl
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.