Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA YAKUMALIZIA UJENZI,TSHS.44 MILIONI, KIVULE-MISITU.
Kiwanja SQM.420.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO. 
Hapa ni Gari moja tu kufika Mjini,
Pia ni Jirani na Kituo cha Daladala.
Huduma za Umeme na Maji zipo ndani tayari. 
Vyumba 3 (Masta 1)Pia kuna Sebule, 
Jiko,Dining-room,Store na 
Choo cha Familia ndani. 
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000. 
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu. 
+255 714 591 548
___________mskv




















