Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mabanda, Tanga


NYUMBA YA KISASA, VYUMBA-3 NA MABANDA YA KUKU,TSH 90 MIL, MBEZI-MSAKUZI.
Mjengo ni WA 'Contemporary',
mara na la kuvutia. Pia kuna MABANDA ya kufugia
Kuku (Kuku ELFU MOJA kwa wakati mmoja)
Nyumba Ina vyumba vya kulala 3 ( Masta 1)
Pia Sebule, Jiko, Dining-room, Store na Choo cha Familia ndani.
Na pia ina Chumba kimoja cha nje,
Store pamoja na Frem moja ya Biashara.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 900.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
__________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________mpg


















