Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Makongo, Dar Es Salaam


INAUZA BANK, TSHS.180 MILIONI TU, MAKONGO/CHANGANYIKENI.
Hii ni nyumba nzuri na-ya kisasa.
Ipo umbali wa mita 100 tu,
kutoka ilipo Barabara ya Lami.
Eneo tulivu, pakujiachia na salama.
WAHI X WAHI X WAHI MDAU WANGU.
HII SIO YA-KUKOSA KABISA.
Kiwanja SQM.1,200.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 3 vya kulala Sebule, Jiko , Choo na Store.
________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255714591548
________________jj
Ukihitaji kukagua taarifa mapema Tafadhali.