Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam


NYUMBA MPYA, VYUMBA 3,TSHS.90 MILIONI,MBAGALA-CHAMAZI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 500.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba3 (Masta 1)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
NI NYUMBA YAKUHAMIA.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________rKmb